Balozi C. Mutalemwa akiangalia zawadi kutoka kwa wafanyakazi wa Tume ya Mipango katika ghafla ya kumuaga. Balozi amestaafu kazi rasmi na amekuwa mjengoni miaka mingi sana. Wengi watamkumbuka kwa Utendaji wake kazi mahiri sana. Julieth A.K.A Miss mipango aliwakilisha Picha hiyo kwa niaba ya wadau.
Jacqueline Wa Ukweli
Zake chakachua na zako!
Tuesday 26 October 2010
Tuesday 19 October 2010
Mama Maro aagwa Tume ya Mipango
Mkuu wa klasta ya Uzalishaji Bw. Maduka akitoa hotuba ya kumuaga mama Maro ambaye amekuwa Katibu mpya wa Tume ya Maadili ya Uongozi.
Hongera sana mama Maro! Tunakutakia kila la kheri huko uendako na mafanikio mema kwenye kazi majukumu yako mapya. Hayo ndio maneno ya Bw. Maduka wakati wa sherehe za kumuaga aliyekuwa DAP Tume ya Mipango.
Ahsanteni sana sana sana nakosa hata la kusema maana tumeishi vizuri sana sana n.k.... Ndio maneno ya shukrani kutoka kwa Mama Laura Maro aliyekuwa DAP Mipango.
Monday 18 October 2010
Mama mjengoni aagwa
Wa ukweli utazani kapiga glass ya Dubai, akiwa makini kusikiliza kinachoendelea katika sherehe hiyo ya kumuaga Mama Maro (DAP) wa Tume ya Mipango aliyeteuliwa kuwa katibu wa Tume ya Maadili ya Uongozi. Pembeni ni Mdau Thomas aka Dr.
Tuesday 12 October 2010
Monday 11 October 2010
Subscribe to:
Posts (Atom)